Date: 
13-08-2021
Reading: 
Mithali 11:18-20 (Proverbs)

IJUMAA TAREHE 18 AGOSTI 2021, MORNING

Mithali 11:18-20

18 Mtu mwovu hupata mshahara wa udanganyifu; Apandaye haki ana thawabu ya hakika.
19 Haki huelekea uzima; Afuataye maovu hufuata mauti yake mwenyewe.
20 Wenye kuhalifu moyoni ni chukizo kwa Bwana; Walio wakamilifu katika njia zao humpendeza.

Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wo wote;

Maisha ya uovu hayana hatma njema kwa mwanadamu. Hatma njema iko kwenye kutenda mema. Dhambi ni chukizo kwa Bwana, ndiyo maana kutenda dhambi ni kuendea mauti.

Tunaitwa kuwa wakamilifu katika utume wetu, tukitenda yatupasayo, katika njia sahihi. Ni katika kuwa wenye haki tu ndipo tutaweza kuurithi uzima wa milele.

Siku njema


FRIDAY 18TH AUGUST 2021, MORNING

PROVERBS 11:18-20, (NIV)

18 A wicked person earns deceptive wages,
    but the one who sows righteousness reaps a sure reward.

19 Truly the righteous attain life,
    but whoever pursues evil finds death.

20 The Lord detests those whose hearts are perverse,
    but he delights in those whose ways are blameless.

Read full chapter

Righteousness exalts a nation: but sin is a shame to any people.

Evil lives do not have a good future for mankind. Good destiny lies in doing good. Sin is an abomination to the Lord, which is why to sin is to go to death.

We are called to be perfect in our mission, doing what we should, in the right way. Only by being righteous will we be able to inherit eternal life.

Good day