Date: 
13-10-2017
Reading: 
Mark 7:8 NIV (Marko 7:8)

FRIDAY 13th OCTOBER 2017 MORNING

Mark 7:8 New International Versions (NIV)

Let us not forsake the commandments of God

You have let go of the commands of God and are holding on to human traditions.”

Message

The meaning is not only for any particular commandment, but we have to abide ourselves to all the commandments of God, it means the whole written law. Public opinions should not be more powerful or influential in our daily life than God’s word.

IJUMAA YA TAREHE 13th OKTOBA 2017 ASUBUHI

Marko 7:8

Tusiziache Amri za Mungu

Ninyi mwaiacha amri ya Mungu, na kuyashika mapokeo ya wanadamu.

Ujumbe

Maana yake ni kwamba sio amri yoyote, lakini tunapaswa kujifunga kuzishinda amri zote za Mungu, maana yake ni sheria nzima ilivyoandikwa au agizwa. Maoni ya umma au mawazo ya kijamii hayapaswi kuwa na ushawishi mkubwa zaidi katika maisha yetu ya kila siku kuliko neno la Mungu.