Event Date: 
25-02-2021

Mpendwa msharika na watu wote wa Mungu, kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia, sasa ni dhahiri kwamba unaweza kushiriki kikamilifu katika ibada zetu zote ukiwa sehemu yoyote duniani.

Ungana nasi katika ibada zote za kila siku za wiki, pamoja na ibada kuu za siku ya Jumapili kwa kufuatilia matangazo ya moja kwa moja (LIVE) kupitia chaneli yetu ya Youtube ya AZANIAFRONT TV

Subscribe kwenye chaneli hiyo ili uweze kupata taarifa (notification) kila kunapokuwa na jambo linaendelea usharikani. 

Mungu awabariki wote.