Date: 
04-10-2017
Reading: 
Ephesians 6:1-4 NIV (Waefeso 6:1-4)

WEDNESDAY 4TH OCTOBER 2017

Ephesians 6:1-4

1 Children, obey your parents in the Lord, for this is right. “Honour your father and mother”—which is the first commandment with a promise— “so that it may go well with you and that you may enjoy long life on the earth.”[a]

Fathers,[b] do not exasperate your children; instead, bring them up in the training and instruction of the Lord.

Footnotes:

  1. Ephesians 6:3 Deut. 5:16
  2. Ephesians 6:4 Or Parents

Apostle Paul quotes God's 4th commandment in his letter to Ephesians.  So, it not only good for us to honour our parents, but it pleases God also. Similarly, parents are required to treat their children right, and teach them the word of God. That is the only way to help them in dealing with temptations and to follow his ways (read Psalm 119:11).

JUMATANO TAREHE 4 OKTOBA 2017

Waefeso 6: 1 – 4

1 Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana, maana hii ndiyo haki.
2 Waheshimu baba yako na mama yako; amri hii ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi,
3 Upate heri, ukae siku nyingi katika dunia.
4 Nanyi, akina baba, msiwachokoze watoto wenu; bali waleeni katika adabu na maonyo ya Bwana.
5 Enyi watumwa, watiini wao walio bwana zenu kwa jinsi ya mwili, kwa hofu na kutetemeka, kwa unyofu wa moyo, kana kwamba ni kumtii Kristo;
6 wala si kwa utumwa wa macho tu kama wajipendekazao kwa wanadamu bali kama watumwa wa Kristo, mkitenda yampendezayo Mungu kwa moyo;

Mtume Paulo ananukuu amri ya 4 ya Mungu katika barua yake kwa Waefeso. Hivyo, sio vizuri tu kwetu kuwaheshimu wazazi wetu, lakini pia humpendeza Mungu pia. Vivyo hivyo, wazazi wanatakiwa kuwalea watoto wao sawa, na kuwafundisha neno la Mungu. Hiyo ndiyo njia pekee ya kuwasaidia katika kukabiliana na majaribu na kufuata njia za Mungu (soma Zaburi 119: 11).