CHAPLAIN MZINGA AWATEMBELEA WATOTO WA SHULE YA JUMAPILI, TAREHE 7/9/2014

ss9

Mchungaji Kiongozi wa kanisa la Azani Front Chaplin Charles Mzinga alipotembelea madarasa ya Sunday School kuwasalimu

na kuwapa baraka watoto.

ss3

ss4

Habari nyingine za Sunday school......chini

ss2

Darasa la Kiingereza la Sunday School wakiwa katika somo.

ss14

Watoto wa Sunday School wakifanya mazoezi ya sikukuu ya Mikaeli na Watoto.

ss10

Viongozi wa jimbo wa Sunday School wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza kutunga mitihani ya Sunday School

ya Jimbo 2014, zoezi lilofanyika KKKT Buguruni, tarehe 30/08/2014.

(Habari na Picha, Jane Mhina)