
Watoto wa AzaniaFront wakifanya mazoezi ya kuimba Tamasha - Mei 2014
(Habari picha imeandaliwa na Jane Mhina)



Waliowakilisha kwenye Tamasha lililofanyika Usharika wa Mabibo Farasi

Wakiimba kwenye Tamasha

Baadhi ya waalimu wa Sunday School

Kuangalia Picha zaidi za Tamasha, bofya hapa..
SEMINA YA WAALIMU WA SHULE YA JUMAPILI ILIYOFANYIKA USHARIKA WA MBEZI BEACH
MEI-2014 (Habari picha imeandaliwa na Jane Mhina)

walimu wa Sunday School wakijiandikisha kushiriki semina ya walimu iliyofanyika katika
usharika wa Mbezi Beach

Juu-Mchungaji Stephan akifungua Semina ya walimu wa Sunday School

Mmoja wa wakufunzi akitoa mada kuhusu watoto na malezi ya kimaadili

Walimu kutoka sharika mbalimbali walioudhuria Semina
