KWAYA KUU YATEMBELEA IRINGA APRIL 2019

KWAYA KUU YA KANISA KUU AZANIA FRONT YAFANYA SAFARI YA KIUINJILISTI USHARIKA WA KANISA KUU IRINGA – APRIL 2016

Kwaya Kuu ya Kanisa Kuu la Azania Front ilifanya safari ya kiuinjilisti katika Kanisa Kuu la Iringa Mjini toka tarehe 11.4.2019 hadi 14.4.2019, wakiwa wageni wa Kwaya Kuu ya Usharika huo. Kwaya hiyo iliongozwa na Baba Dean wa Kanisa Kuu la Azania Front Mch. Chediel Lwiza. Kwaya ilishiriki pia katika Ibada za kumwingiza kazini Msaidizi wa Askofu Mch.Askali Mgeyekwa.