
JUMAPILI
Saa 1:00 - 3:30 asubuhi - Ibada ya kwanza; Saa 3:30 - 5:30 asubuhi - Ibada ya pili
Ibada zote hapo juu zinaambatana na vipindi vya shule ya jumapili
JUMATATU - IJUMAA (Kasoro siku za Sikukuu) Saa 12:00 - 1:00 asubuhi , Ibada ya Morning Glory
ALHAMISI
Saa 11:00 Jioni - Maombi na Maombezi