Date: 
29-09-2017
Reading: 
2 Kings 19:8-10 NIV (2 Wafalme 19:8-10)

FRIDAY 29TH SEPTEMBER 2017 MORNING

2 Kings 19:8-10  New International Version (NIV)

When the field commander heard that the king of Assyria had left Lachish, he withdrew and found the king fighting against Libnah.

Now Sennacherib received a report that Tirhakah, the king of Cush,[a] was marching out to fight against him. So he again sent messengers to Hezekiah with this word: 10 “Say to Hezekiah king of Judah: Do not let the god you depend on deceive you when he says, ‘Jerusalem will not be given into the hands of the king of Assyria.’

 

IJUMAA TAREHE 29 SEPTEMBER 2017 ASUBUHI

2 Fal 19: 8 - 19 

 

8 Basi yule amiri akarudi, akamkuta mfalme wa Ashuru, anapigana na Libna; maana alikuwa amesikia ya kwamba ameondoka, akaacha Lakishi.
9 Na aliposikia habari ya Tirhaka mfalme wa Kushi, ya kwamba, Tazama, ametoka ili kupigana nawe; alituma wajumbe kwa Hezekia mara ya pili, kusema,
10 Mwambieni Hezekia, mfalme wa Yuda, maneno haya, mkisema, Asikudanganye Mungu wako unayemtumaini, akisema, Yerusalemu hautatiwa katika mikono ya mfalme wa Ashuru.