TAREHE 15 MACHI 2015

2015upendo kwaya kikao09  

Mwenyekiti Alen Lyatuu akifungua kikao

2015upendo kwaya kikao10

Mwenyekiti wa kwaya na Mama U. Kiangi kwapamoja wakifafanua jambo katika kikao

2015upendo kwaya kikao05

Makamu mwenyekiti wa kwaya mama D.Buchanagandi akiwakaribisha wageni katika kikao

2015upendo kwaya kikao01

Baaadhi ya walezi wa kwaya ya Upendo Bwana Godfrey Lwiza, Bibi Joyce Kasyanju na Mzee N.Buchanagandi (Kulia)

wakishiriki kikao kilichoandaliwa na uongozi wa kwaya ya Upendo

2015upendo kwaya kikao02

Kushoto Mwenyekiti wa Kwaya ya Upendo Bwana Lyatuu, katikati Mwalimu Tumaini na naibu katibu wa kwaya Mam J.Mhina

wakifuatilia jambo katika kikao

2015upendo kwaya kikao03

Kushoto ni mweka hazina msaidizi A.Olutu akifutiwa na mwanakati Dizaina Linda Felician wakifuatilia jambo katika kikao

2015upendo kwaya kikao07

Mwalimu Tumaini akitoa maelezo

2015upendo kwaya kikao08

Mwekahazina wa Kwaya kushoto mama M.Nkya akifuatilia jambo

2015upendo kwaya kikao04

Mwalimu Tumaini akiongoza kwaya baada ya kikao

2015upendo kwaya kikao06

Kwaya ya upendo ikifunga kikao kwa Wimbo