Vijana 7 wa usharika wa Azaniafront wamesafiri kwenda Frondenberg Ujerumani katika ziara ya mafunzo kuanzia tarehe 6/7/2018 hadi tarehe 21/07/2018.

Jumapili tarehe 21/01/2018 Usharika wa Azaniafront ulishuhudia matukio 2 muhimu katika ibada ya Kiswahili ya saa 3:30 asubuhi.

WASHARIKA 14 WA AZANIAFRONT WAZURU USHARIKA RAFIKI WA MESSIAH, MARQUETTE, MICHIGAN, MAREKANI OKTOBA 2017

On Friday 27th of October 2017 evening, Azaniafront Cathedral was graced by a Parent's Choir from Hamburg Germany, which perfomed a concert with th

HARAMBEE YA KITUO CHA KIROHO CHA KIHARAKA 2017

FUND RAISING FOR KIHARAKA SPIRITUAL CENTER

A delegation of 12 people, 10 youths and 2 Pastors from the Northern Great Lakes Synod of USA visited the Eastern and Coastal diocese  of the Evang

Jumapili ya tarehe 23/10/2016, washarika wa Azaniafront walijumuika kuadhimisha ibada ya sikukuu ya mavuno. Ibada hiyo iliongozwa na Msaidizi wa Askofu, Chidiel Lwiza.

On Sunday 9th October 2016, the Azaniafront congregation was graced with the presence of 2 visitors from Unna Church District in Germany.

Vijana ambao walikuwa wanafunzi wa Sunday school, siku ya Jumamosi tarehe 21.11.2015 walibarikiwa rasmi kuanza kuhudhuria ibada ya watu wazima baada ya kufuzu mafunzo ya kipaimara.
Kikundi cha Matarumbeta wakiongoza washarika katika maandamano ya kuelekea kwenye eneo la ibada ya mavuno.

Pages