1 Wathesalonike 5:1-5
06-12-2021
Bwana anakuja katika ufalme wake. /Heri Buberwa.
Hesabu 15:37-41
03-12-2021
Mungu anatuita kumcha yeye. /Heri Buberwa
Tito 1:1-4 (Titus)
02-12-2021
Neno la Mungu ndiyo kweli idumuyo milele. The Word of God is the eternal truth. /Heri Buberwa.
Warumi 14:17-19
01-12-2021
Chukua hatua ya imani kuuendea uzima wa milele ukiishi kwa kumpendeza Mungu. /Heri Buberwa.
Wathesalonike 2:1-16
30-11-2021
Jihadhari na kuyumbishwa na manabii wa uongo, mtazame Yesu Kristo tu. /Heri Buberwa.
Isaya 51:1-3
29-11-2021
Bwana analijia Kanisa lake. /Heri Buberwa
Marko 12:18-17
27-11-2021
Mawazo yetu yatuuongoze vyema ili tuweze kuufikia uzima wa milele. /Heri Buberwa
Yeremia 31:14-17
26-11-2021
Ni ahadi ya Mungu kutukomboa na kuturudisha kwake. /Heri Buberwa
Yoeli 3:17-21
25-11-2021
Bwana atabariki wenye haki. /Heri Buberwa
Waebrania 12:18-24
24-11-2021
Mungu atakayetupokea uzimani ndie atupae neema ya kumfuata kwa ukamilifu. /Heri Buberwa.

Pages