Uchaguzi wa kwaya ya akina mama Azania Front Cathedral 02-07-2014

Kwaya ya akinamama Kanisa Kuu la Azania Front imekuwa ikishiriki katika uimbaji kwa

miaka mingi.Uimbaji huu umekuwa ukifanyika katika ibada, matamasha mbalimbali, mialiko,

kufarijiana pamoja na kutembelea wagonjwa mahospitalini. Uongozi wa kwaya hii huchaguliwa

kila baada ya miaka minne. Uongozi uliopita ulianza mwezi wa Julai 2010 na kumaliza muda wake

mwezi wa Juni 2014. Viongozi wapya kwa kipindi cha kuanzia Julai 2014 mpaka Juni 2018 walichaguliwa

tarehe 02-07-2014 nao ni kama ifuatavyo:-

Mwenyekiti - Eileen Mavura

Baraza la Wazeee wa usharika 2018-2022

CHAPLAIN CHARLES MZINGA - Mwenyekiti

1. ZEBADIA MOSHI (ENG)

2. SIMON JENGO

3. CHARLES MKONYI (PROF)

4. CUTHBERT SWAI

5. THEOPHILUS MLAKI

6. JUXON MLAY (JUDGE RTD)

7. NYAMAJEJE BUCHANAGANDI

8. SAMUEL SWAI (DR)

9. FRED MSEMWA (DR)

10. EVATT KUZILWA

11. JOHN LYANGA

12. ELIAWONYI KISANGA (DR)

13. NDEWIRWA KITOMARI

14. TULIZO SANGA (DR)

15. GEORGE LUCAS KINYAHA

16. LILLIAN MBOWE (DR)

17. RUTH MOLLEL

18. BRENDA MSANGI KINEMO

19. DORIS MARO