Wazee wa Baraza wa Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front Cathedral tarehe 9 Julai 2022 walifanya ziara katika mtaa wa Tabora ili kujionea maendeleo y
![](http://azaniafront.org/sites/default/files/styles/frontnews/public/IMG_2508.jpg?itok=vKWlKTr-)
Usharika wa KKKT Kanisa Kuu Azania Front Cathedral mnamo tarehe 1 Julai 2022 uliandaa tamasha la uimbaji lililofanyika usharikani ikiwa ni sehemu y
![](http://azaniafront.org/sites/default/files/styles/frontnews/public/IMG_2340.jpg?itok=BB5bZIjM)
Kamati ya Afya na Ustawi wa Jamii ya Usharika wa KKKT Kanisa Kuu Azania Front Cathedral hivi karibuni (Juni 25, 2022) iliandaa kambi ya matibabu (A
![](http://azaniafront.org/sites/default/files/styles/frontnews/public/IMG_7829.jpg?itok=CgjmSEjk)
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, limeandaa utaratibu wa wanawake kuongoza ibada mara moja kwa mwaka, ibada hizi kwa kawaida hufanyika kati
![](http://azaniafront.org/sites/default/files/styles/frontnews/public/DSC_0036.jpg?itok=bJQVFPom)
Wanawake wa Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front Cathedral hivi karibuni walihudhuria semina ya kiroho na kiuchumi.
![](http://azaniafront.org/sites/default/files/styles/frontnews/public/WhatsApp%20Image%202022-06-06%20at%209.23.46%20PM.jpeg?itok=0SyJ7et_)
Wanawake wa Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front Cathedral mnamo tarehe 19/3/2022 walikutana usharikani kwa ajili ya Mkutano Mkuu wa Umoja huo kwa m
![](http://azaniafront.org/sites/default/files/styles/frontnews/public/IMG_9009%20%281%29.jpg?itok=wC_2OnR-)
Siku ya Jumapili tarehe 10 Julai 2022 ilikuwa ni Siku ya Vijana katika Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front Cathedral, siku ambayo huadhimishwa kila
![](http://azaniafront.org/sites/default/files/styles/frontnews/public/WhatsApp%20Image%202022-06-06%20at%207.35.57%20PM.jpeg?itok=dxyzNmzQ)
Wanakwaya wa Kwaya ya Agape ya Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front Cathedral ambayo huimba katika ibada ya kwanza (saa moja asubuhi) siku za Jumapi
![](http://azaniafront.org/sites/default/files/styles/frontnews/public/Pasaka%202022-011.jpg?itok=Prz_BFci)
Usharika wa KKKT Kanisa Kuu Azania Front Cathedral umejumuika na wakristo wote ulimwenguni kusherehekea sikukuu ya Pasaka ya mwaka 2022.
![](http://azaniafront.org/sites/default/files/styles/frontnews/public/Title%20-%20Pasaka%202022.jpg?itok=pvaRsjiO)
Hii hapa ni ratiba ya matukio na Ibada zote kuelekea Sikukuu ya Pasaka ya mwaka huu wa 2022.