In the name of God, the Father, the Son, and the Holy Spirit. Amen.

Mpendwa msharika na watu wote wa Mungu, hii hapa ni ratiba ya ibada zetu katika msimu huu wa sikukuu za Pasaka za mwaka 2021.

Mchungaji Kiongozi wa Usharika wa Kanisa Kuu Azaniafront, Mchungaji Charles Mzinga mnamo tarehe 1 Agosti 2020 alifanya uzinduzi wa klabu ya vijana

Kwaya ya Tarumbeta ya Usharika wa Kanisa Kuu Azaniafront ni moja ya kwaya zinazofanya vizuri katika Usharika wa Kanisa Kuu Azaniafront.

Mpendwa msharika na watu wote wa Mungu, kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia, sasa ni dhahiri kwamba unaweza kushiriki kikamilifu katika

Usharika wa KKKT Kanisa Kuu Azaniafront Cathedral unawakaribisha watu wote katika ibada zake za kila siku za Jumapili, pamoja na ibada za katikati

Jumapili ya Tarehe 13/12/2020, Washarika walishuhudia kwaya ya vijana ikizindua album yenye Jina "Hakuna Jina Lingine"  yenye nyimbo 8 katika ibada

Kwaya ya wanawake ya Usharika wa Kanisa Kuu Azaniafront hivi karibuni ilitembelea kituo cha watoto yatima cha Kiwalani kilichopo jijini Dar es sala

Waalimu wa shule ya Jumapili ya Usharika wa Kanisa Kuu Azaniafront, hivi karibuni walihudhuria semina iliyoandaliwa na usharika na

KKKT Azaniafront yaadhimisha ‘Sikukuu ya Mavuno’ kwa mwaka 2020

Pages