Yoshua 24:19-24 (Joshua)
12-06-2021
Je, unamtumikia Mungu kweli bila kuchanganya na ‘miungu’ wengine. Are you truly serving God without mixing with Him other ‘gods’. /C. Swai, Elder
Mathayo 5:1-3  (Mathew 5:1-3)
11-06-2021
Tujione maskini kwa  maana ya kwamba tunamhitaji Yesu Kristo wakati wote. Let us see ourselves as poor in the sense that we need Jesus Christ all the time. /Heri Buberwa
Kumbukumbu la Torati 5:22-27 (Deuteronomy)
10-06-2021
Mungu anapenda wale wanaomcha, na huwabariki. God loves those who fear Him, and blesses them. /Heri Buberwa
Waebrania 10:23-25 (Hebrews 10:23-25)
09-06-2021
Tunapaswa kuwa wavumilivu katika maisha yetu ya ufuasi. We must be patient in our life of discipleship. /Heri Buberwa
Kutoka 34:1-4 (Exodus 34:1-4)
08-06-2021
Mungu anawatumia makuhani wake kuhubiri habari za wokovu. God uses his priests to preach the message of salvation. / Heri Buberwa
Yohana 7:1-9 (John 7:1-9)
07-06-2021
Tunaitwa kumpokea na kumkubali Yesu. We are called to receive and accept Jesus. /Heri Buberwa
Mwanzo 1:1-5 (Genesis 1:1-5)
05-06-2021
Asili ya Mungu ni upendo. God's nature is love. /Heri Buberwa
Matendo 5:30-32 (Acts 5:30-32)
04-06-2021
Imani ya kweli kwa Mungu wa Utatu ndiyo suluhisho la mwanadamu, katika maisha ya wokovu. True faith in the Trinity of God, is man's solution in the life of salvation. /Heri Buberwa
Matendo 15:6-11 (Acts 15:6-11)
03-06-2021
Kanisa la Kristo litawaliwe na neno lake, na siyo mawazo yetu. Christ's church should be governed by his word, not our own ideas. /Heri Buberwa
1 Wakorintho 2:1-5 (1 Corinthians 2:1-5)
02-06-2021
Kuishi kwetu na kazi zetu viwe ni kwa  kumtegemea Mungu na siyo akili zetu. Our life and work should be based on God and not our intellect. /Heri Buberwa

Pages