Zaburi 18:1-3 (Psalm)
22-10-2021
Tukimtegemea yeye tutashinda na kuuingia katika ufalme wa Mungu. If we trust in Him we will overcome and enter the kingdom of God. /Heri Buberwa.
1 Wathesalonike 2:9-12
21-10-2021
Njia ya ufalme wa Mungu. /Heri Buberwa
Wagalatia 6:1-5 (Galatians)
20-10-2021
Wakristo tunapaswa kuchukuliana mizigo. We should help each other as Christians. /Heri Buberwa.
Mathayo 13:31-32 (Matthew)
19-10-2021
Mtazame Yesu Kristo aliye mwokozi wetu. Focus on Jesus Christ, our saviour. /Heri Buberwa.
Mika 6:1-5 (Micah)
18-10-2021
​​​​​​​Njia ya ufalme wa Mungu. The way of the Kingdom of God. /Heri Buberwa.
Mika 6:1-5 (Micah)
18-10-2021
​​​​​​​Njia ya ufalme wa Mungu. The way of the Kingdom of God. /Heri Buberwa.
Matendo ya Mitume 3:1-10 (Acts)
16-10-2021
Sala zetu zinajibiwa tukiomba kwa imani. Our prayers are fulfilled when we pray in faith. /Heri Buberwa.
Yoshua 10:12-14
15-10-2021
Nguvu ya imani katika Kristo. /Heri Buberwa
Isaya 50:4-9
14-10-2021
Basi tuwe watu wafundishwao, tusio wakaidi, ndipo BWANA atatusaidia na kutupa haki ya uzima. /Heri Buberwa
Yohana 5:1-9
13-10-2021
Nguvu ya imani katika Yesu Kristo. /Heri Buberwa

Pages