Kwaya ya Agape - Agape Choir

Kwaya ya Agape, ni kwaya ya uinjilisti inayomhubiri kristo kwa njia ya uimbaji.
Kwaya hii ilianzishwa katika kanisa kuu Azania Front Cathedral mnamo mwaka 2002 ikiwa na wanakwaya 12, mwenyekiti akiwa Allen David, Katibu Fritz Msanjo,
Mwalimu Kiongozi Amri Hingi, Mweka hazina Cesilia K. Hingi, mwenyekiti wa Uinjilisti dada Gladness Maleko.

Kwaya Kuu - Main Choir

KWAYA KUU – Kwaya ya Usharika Kanisa Kuu Azania Front (Azania Front Cathedral) ikiwa chini ya Dayosisi ya Mashariki na Pwani (DMP), ni Kwaya kongwe katika kwaya kuu nyingi za Dayosisi ya Mashariki na Pwani. Kwaya kuu ilianza zaidi ya miaka 60 iliyopita. Hadi sasa inawaimbaji 60 waliojiandikisha, ingawaje mahudhurio ya kila ibada ni 30-40.

Kwaya hii ni miongoni mwa vikundi vinavyofanya vizuri hadi sasa katika matukio mbalimbali ya Usharika, na matukio ya DMP kwa ujumla.

Kwaya ya Vijana - Youth Choir

Josephat Nyuha member of the Azania Front Youth Choir bid farewell to loneliness and bachelorhood when he led to the altar and vowed " I DO" to Catherine Moshiro at Azania Front Congregation on 28June, 2014. Josephat is a member of the Youth Choir at Azania Front Cathedral. The Chaplain and the Council of elders wish the couple long life filled with joy, love and peace in Jesus name. Last week also Azania Front witnessed a wedding of Evangelist Daniel Yahaya Issa Simba. Azania Front congregation wish the newly wed happy life in Jesus Christ

Kipaimara 2015

Vijana waliokuwa wanafunzi wa Sunday school, siku ya Jumamosi tarehe 21.11.2015 walibarikiwa rasmi kuanza kuhudhuria ibada ya watu wazima baada ya kufuzu mafunzo ya kipaimara waliyosoma kwa muda wa mika miwili.

Sikukuu ya Mavuno 2015

Jumapili ya tarehe 18 October 2015, Usharika wa Azaniafront uliadhimisha sikukuu ya mavuno iliyopambwa vizuri na kwaya ya Usharika wa Msasani na Kwaya za Usharika pia. Mgeni rasmi alikuwa msaidizi wa Askofu wa DMP, Mch. Chidiel Lwiza, na Ibada iliendeshwa na Mch.