Matthew 13:53-58 
27-07-2020
Humbly come to Jesus.. Njoo kwa Yesu kwa unyenyekevu.../Pastor J. Mlaki
Acts 20:7-12 (Matendo 20:7-12)
24-07-2020
God cares about every single thing that we do for Him..Mungu anajali kila jambo tufanyalo kwa ajili yake.../Pastor
John 8:1-11 (Yohana 8:1-11)
23-07-2020
Our sins are forgiven by Grace. Tunasamehewa dhambi zetu kwa neema. ../Pastor J. Mlaki.
2CORINTHIANS 7:5-10 (2Wakorintho 7:5-10)
22-07-2020
Our sins are cleansed by the blood of Jesus. Tunaoshwa dhambi zetu kwa damu ya Yesu../Pastor J. Mlaki.
Luke 8:22-25
20-07-2020
“With Christ in the boat, you can smile at the storm.” Tukiwa na Yesu Kristo katika chombo, tunaweza kutabasamu wakati tufani inapovuma.../Pastor J. Mlaki
John 1:35-42
18-07-2020
Becoming a desciple of Jesus is a lifelong experience.. Kuwa mfuasi wa Yesu ni jambo la maisha yako yote../ Pastor J. Mlaki
Mark 1:16-20
16-07-2020
We are saved by the grace of Jesus Christ. Tunaokolewa kwa neema ya Yesu Kristo.../Pastor J Mlaki.
1TIMOTHY 6:20-21 ( Timotheo 6:20-21)
15-07-2020
The most effective way to confront the false teachings is to know the Truth of scripture and proclaim that truth..Njia iliyo sahihi zaidi ya kupambana na mafundisho ya uongo ni kuijua kweli ya neno la Mungu na kuitangaza kweli hiyo.../Pastor J. Mlaki
2Timothy 2:11-13
14-07-2020
Christian can stand faithful as God empowers them. Mkristo anaweza kusimama kwa uaminifu  kadiri Mungu anavyomtia nguvu.../Pastor J Mlaki
1Timothy 6:3-5
13-07-2020
We have to become students of the Word and faithful in prayer. Tunapaswa kuwa wanafunzi wa neno na waaminifu katika kuomba. ../Pastor J Mlaki

Pages