Revelation 21:1-5 (Ufunuo 21:1-5)
20-11-2019
God satisfies needs that cannot be satisfied anywhere else. Mungu hutosheleza mahitaji yale ambayo hakuna mwingine anayeweza kufanya hivyo popote. {Pastor J Mlaki}
Matthew 13:36-43
19-11-2019
Those who accept the message of Jesus Christ find themselves against the forces of darkness. Wale wanaoipokea habari njema ya Yesu Kristo wanakuwa katika upinzani dhidi ya nguvu za giza. {Pastor J Mlaki}
Amos 1:6-8
18-11-2019
Both prayer and service are essential. Maombi na huduma vinakwenda pamoja. {Pastor J Mlaki}
1 Thessalonians 4:1-7
15-11-2019
Live in order to please God, Ishi kwa kumpendeza Mungu. { Pastor J Mlaki}
2 Thessalonians 1:11-12 (2 Wathesalonike 1:11-12)
14-11-2019
We don’t need to be perfect to serve the Lord. Hatuhitaji kuwa wakamilifu ili kumtumikia Mungu. {Pastor J Mlaki}
2Thessalonians 2:13-17
13-11-2019
Stand firm in Christ. Simama imara na Yesu. {Pastor J Mlaki}
Romans 8:24-25 (Warumi 8:24-25)
11-11-2019
As children of God, we wait patiently for the return of Christ. Kama watoto wa Mungu, tunasubiri kwa uvumilivu kurudi tena kwa Yesu. {Pastor J Mlaki}
Revelations 7:1-8 (Ufunuo 7:1-8)
09-11-2019
No one can harm or destroy our salvation. Hakuna anayeweza kudhuru au kubomoa wokovu wetu. {Pastor J. Mlaki}
Proverbs 10:1-7 (Methali 10:1-7)
08-11-2019
Your wisdom will help other people. Ukiwa na hekima, itawafaa watu wengine. {Pastor J Mlaki)
Revelation 7:9-12 (Ufunuo 7:9-12)
06-11-2019
Being a Christian does not exempt us from challenges of life. Kuwa Mkristo hauepushwi na changamoto za maisha haya. {Pastor J Mlaki}

Pages